11 Juni 2015

Ngono mchana badala ya chakula

You need to install Flash Player to play this content.
Video ya hali ya juu
Baadhi ya wananchi wa Uganda wametoa maoni yao kufuatia kauli iliyotolewa na Dokta Simon Lokodo ambaye ni Waziri anayehusika na maadili nchini humo.

Dokta Lokodo ameripotiwa akisema kwamba kiwango cha maambukizo ya ugonjwa wa ukimwi kimekuwa kikubwa kutokana na watu hivi sasa wamechagua kufanya ngono badala ya kwenda kula chakula cha mchana.
Aliyasema hayo mjini Gulu na kusisitiza kuwa tendo la ndoa kwa sasa, limekosa maana hasa kwa vijana.Halima Nyanza amezungumza na Mwandishi wa BBC mjini Kampala Siraj Kalyango, kutaka kujua kauli hiyo ilivypokelewa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728