02 Juni 2015

Kim kardashian ni mjamzito

Kim kardashian
Nyota wa kipindi cha runinga nchini Marekani ambaye ameolewa na msanii kanye West amefichua siri katika kipindi cha keeping up with the Kardashians.

Kim Kardashian amefuchua kwamba amefanya ukaguzi wa damu na kubaini kwamba ni mjamzito.
''Nilifanya ukaguzi wa damu na nimegundua kwamba mimi ni mjamzito'',alimwambia dadaake Khloe Kardashian.
Kanda hiyo ya Video pia ilionyesha akienda kufanyiwa ukaguzi.
Huyu atakuwa mwamna wa pili wa nyota hao ambao walipata mtoto wao wa kwanza North West mwezi Juni mwaka 2013.
Kanye West na Kim Kardashian
Hakuna maelezo kuhusu ni lini mwana huyo atazaliwa.
Kabla ya kanda hiyo ya video kuonyeshwa ,Kim alituma ujumbe wake wa Twitter akisema kwamba ana habari njema za kutangaza.
Katika kipindi hicho Kim amekuwa akisema kwamba imekuwa vigumu kwa yeye na Kanye kupata mtoto mwengine.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728