01 Juni 2015

Zamaradi Kurudi Rasmi Kwenye TAKE ONE na Mambo Haya Saba

Zamaradi Kurudi Rasmi Kwenye TAKE ONE na Mambo Haya Saba
Mtanazaji wa kipichi cha Televisheni cha TAKE ONE  cha maswala ya filamu hapa bongo, Zamaradi Mtetema ameeleza kurudi rasmi wiki hii kukiendesha kipindi hicho kinarusha na Clouds TV baada ya kumaliza mapumziko yake.

Ninarudi Rasmi kwenye TAKE ONE jumanne hii hapa... na kuna vitu vingi vilivyojiri wakati sipo lakini utapata nafasi ya kuona vyote.... vitu ni vingi na muda ni mdogo na hatujui tuanze na kipi maana kuna
1. YALIYOJIRI KWENYE BABY SHOWER YA AUNTY EZEKIEL
2.FILAMU ILIYOFANYWA NA ALIEKUWA MUME WA IRENE UWOYA (Ndikumana)
3.EXCLUSIVE INTERVIEW NA WEMA SEPETU
4.EXCLUSIVE INTERVIEW NA AUNTY EZEKIEL pamoja na MOSE IYOBO
5.YALIYOJIRI KWENYE TUZO ZA FILAMU ZA TAFFA
6. MAELEZO YA SHAMSA FORD BAADA ya kuachana na BABA WATOTO WAKE na pia kuhusu mahusiano yake na NAY WA MITEGO
7. UCHAMBUZI WA FILAMU ALIYOFANYA VAN VICKER na watanzania na VITU VINGINE VIIIINGI SANA maana ni ngumu kumention vyote...
Haya nakuachia wewe kama mdau wa kipindi... JUMANNE HII UNGEPENDA TUANZE NA KIPINDI GANI KATI YA HIVYO JUU!!?
Zamaradi aliandika hayo kwenye ukursa wake mtandaoni

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728