21 Juni 2015

Makubaliano ya amani yaafikiwa Mali

Amani nchini Mali
Maafikiano ya amani yametiwa sahihi yakiwa na lengo la kumaliza mzozo wa miaka mingi kati ya serikali na waasi wa Tuareg.

Serikali imekubali kuwapa madaraka zaidi waasi wa Tuareg na pia imeondoa waranti ya kukamatwa kwa viongozi wake.
Ukiunga mkono makubaliano hayo muungano wa Ulaya umezishauri pande zote kutekeleza majukumu yake na kuitaka serikali kuongoza jitihada na mapatano.
Kikosi cha kimataifa bado kinatafuta njia za kuwadhibiti wanamgambo na makundi mengine yenye silaha yanayoendesha shughuli zao kaskazini mwa Mali.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728