02 Juni 2015

Viera aorodheshwa kuifunza Newcastle

Patrick Viera
Aliyekuwa mchezaji wa Arsenal na Manchester City Patrick Vierra ameorodheshwa miongoni mwa watu wanne wanaotarajiwa kuchukua ukufunzi wa kilabu ya
Newcastle nchini Uingereza.
Steve McCleren aliyefutwa kazi na Derby County wiki iliopita pia ameorodheshwa.
Ukaguzi wa ni nani anayefaa kuchukua wadhfa huo utaanza wiki hii huku Viera ambaye ndio kocha wa vijana wasiozidi umri wa miaka 21 akiwa yuko tayari kujipima nguvu katika ligi hiyo ya Uingereza.
Viera alishinda kombe la dunia na timu ya taifa ya Ufaransa mwaka 1998, mbali na mataji matatu ya ligi pamoja na mataji manne ya FA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728