Taifa Stars itacheza na Misri mjini Alexandria Jumapili hii na kuelekea mchezo huo Stars imeweka kambi Addis Ababa, Ethiopia kwa ajili ya mechi hiyo ngumu. Mechi ya marudiano itachezwa Tanzania baada ya wiki mbili.
Licha ya ushindi huo, nahodha wa Stars, Nadir HAroub (Canavaro) amesema wamejipanga kuwakabili Misri licha ya kuwa timu tishio barani Afrika. Misri imeshinda taji la AFCON mara 7, wakati Stars haijawahi kushinda wala kufika hatua za mbali
Stars imepangwa kundi D pamoja na Super Eagle ya Nigeria na timu ya Chad.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni