11 Juni 2015

Kombe la mataifa ya Afrika 2017

Timu ya taifa ya Misri (Pharaohs) imeitumia salamu Taifa Stars ya Tanzania kwa ajili ya mechi yao ya kwanza ya kufuzu kucheza fainali za 2017 za AFCON baada ya kuwafunga Malawi 2-1 katika mechi ya kirafiki.

Taifa Stars itacheza na Misri mjini Alexandria Jumapili hii na kuelekea mchezo huo Stars imeweka kambi Addis Ababa, Ethiopia kwa ajili ya mechi hiyo ngumu. Mechi ya marudiano itachezwa Tanzania baada ya wiki mbili.
Licha ya ushindi huo, nahodha wa Stars, Nadir HAroub (Canavaro) amesema wamejipanga kuwakabili Misri licha ya kuwa timu tishio barani Afrika. Misri imeshinda taji la AFCON mara 7, wakati Stars haijawahi kushinda wala kufika hatua za mbali
Stars imepangwa kundi D pamoja na Super Eagle ya Nigeria na timu ya Chad.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728