01 Juni 2015

Dawa mpya kudhibiti saratani

Aina ya dawa mbili za kutibu saratani zinaweza kuzuia uvimbe wa saratani kwa watu karibu asilimia 60% wenye saratani iliyofikia kiwango cha juu kijulikanacho kama melanoma, ni kwa mujibu wa majaribio mapya kwa wagonjwa.

Majaribio ya kimataifa yaliyofanyika kwa wagonjwa 945 yalipata tiba kwa kutumia dawa aina ya ipilimumab na nivolumab zikizuia saratani kukua kwa karibu mwaka mmoja kwa wagonjwa asilimia 58%.
Madaktari wa Uingereza waliwasilisha data hizo kwa chama cha madaktari wa Marekani.
Taasisi ya Utafiti wa Saratani nchini Uingereza kiesema dawa hizo zinatoa tiba kali dhidi ya aina moja ya saratani hatari.
Melanoma, hatua ya hatari ya saratani ya ngozi, ni aina ya sita ya saratani ya kawaida nchini Uingereza. Inaua zaidi ya watu 2,000 kila mwaka nchini humo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728