11 Juni 2015

Ghana yaahirisha jaribio la chanjo ya Ebola

chanjo ya ebola
Serikali ya Ghana imeahirisha jaribio la chanjo ya ebola inayotarajiwa kujaribiwa katika jimbo la Volta kufuatia hofu kutoka kwa wakaazi.

Taifa hilo halijaathiriwa na mlipuko wa ugonjwa huo Magharibi mwa Afrika,lakini limekuwa likiandaa makao makuu ya kukabiliana na hali ya dharura ambayo yanatarajiwa kufungwa mwezi huu.
Ghana ilikubali kuifanyia jaribio chanjo ya Ebola na wagonjwa waliochaguliwa walifaa kupewa simu za rununu na fedha.
Bunge la taifa hilo sasa limemtaka waziri wa afya kuelezea kuhusu hali hiyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728