02 Juni 2015

Serikali ya Burundi imesema iko tayari kutafakari ombi

Serikali ya Burundi imesema iko tayari kutafakari ombi lililotolewa na viongozi wakuu wa mataifa ya jumuiya ya Afrika Mashariki jana, kuhusu kuahirisha uchaguzi wa rais kwa alau mwezi moja na nusu, wakati nchi hiyo ikikumbwa na maandamano na vurugu kupinga azma ya rais Pierre Nkurunziza kugombea muhula wa tatu, ambamo watu zaidi ya 30 wameuawa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728