Siku chache baada ya kulaza Manchester United, Stoke City wameandikisha ushindi muhimu Ligi ya Uingereza kwa kucharaza Everton.
Nahodha msaidizi wa Manchester
United, Michael Carrick amelalamika madai kuwa wachezaji wa klabu hiyo
hawachezi vizuri ili kulinda kibarua cha kocha wao.

Image copyrightAFP
Image copyrightEPA
Image copyrightStatehouse Tanzania
Image copyright
Image copyrightReuters
Image copyrightl
Image copyrightGetty
Image copyrightAFP
Image copyrightCBS
Image copyrightGetty
Image copyrightGetty
Image copyrightPA
Image copyrightReuters
Image copyrightReuters
Image copyrightKatarzynaBialasiewicz
Image copyrightAP
Image copyrightStatehouse Tanzania
Image copyrightAP
Image copyrightAP
Image copyrightReuters
Image copyrightReuters
Image copyrightAP
Takriban watu 10 wamepigwa risasi na
kuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka
mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab
nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa
nchi na kuwauwa wanajeshi 13.
Wagombea watano wa
tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla
maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Rais Hollande ameelezea
mashambulio hayo kuwa kitendo cha vita vilivotangazwa na IS ambao
alisema walipata msaada kutoka ndani ya nchi.
Image copyrightAFP
Mwanafunzi aliyepata 0 kwenye mtihani wa mwisho
Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka miongoni mwa wakatoliki
Jeshi la Nigeria limepiga marufuku matumizi ya farasi na punda katika jimbo la Kaskazini Mashariki la Borno