12 Julai 2015

Alshabab lawaachilia wanajeshi 2 wa Kenya


Wanajeshi wa kenya
Polisi nchini Kenya wanasema kuwa maafisa wawili wa jeshi la Kenya waliotekwa na wanamgambo ya AL Shabaab yapata miaka miwili iliyopita wameachiliwa huru.

Mkuu wa polisi Joseph Boinnet amesema kuwa wanajeshi hao walikuwa wanahamishwa hamishwa upande wa Somalia kutoka kambi moja ya Al shabaab hadi nyingine.
Hakutoa maelezo zaidi juu ya namna walivyoachiliwa lakini amesema kuwa wako katika hali nzuri ya afya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728