06 Julai 2015

Matumizi ya dola yashamiri Tanzania

Nchini Tanzania mtindo wa matumizi ya Dola ya Marekani katika ulipaji huduma na bidhaa unaendelea kushamiri, jambo ambalo lina lalamikiwa na wananchi kuwa ni kinyume cha sheria.

Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya (BoT) ya mwaka 2006, inabainisha kuwa shilingi ya Tanzania ndiyo fedha halali kwa malipo ya bidhaa na huduma ikiwamo hotelini, maduka makubwa, nyumba za kupanga na huduma nyinginezo.
Mwandishi wetu Faraja Sendegeya ameandaa taarifa hii kuhusu matumizi ya dola katika biashara ya nyumba za kupanga Jijini Dar Es Salaam.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728