06 Julai 2015

Hisia dhidi ya China zaongezeka Uturuki

Waandamanji wanapinga sera kali za Beijing dhidi ya waumini wa Uighurs
China imewaonya raia wake wanaosafiri kuelekea Uturuki kutoshiriki maandamano ya kuipinga Beijing.

Waziri wa mambo ya nje anasema watlii kadhaa wa China wameshambuliwa. Ushauri huo umetolewa wakati hofu inaongezeka kati ya nchi hizo mbili kuhusu namna China inavyowachukulia waislamu wa Uighurs katika eneo lake huko magharibi- Xinjiang. Mwishoni mwa juma, mamia ya waandamanaji wamekusanyika nje ya ubalozi wa China katika mji mkuu wa Istanbul wakiishutumu Beijing.
Ni ishara ya hivi karibuni ya kuongezeka kwa hisia dhidi ya China nchini Uturuki. Ankara imemuita balozi wa China nchini humo wiki iliyopita kufuatia taarifa kwamba Beijing imewapiga waislamu wa Uighurs marufuku kufunga na kuabudu wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan. China imejibu kwa kusema inalinda uhuru wa kuabudu.
Hatua hiyo ya Beijing kwa waumini hao wa Uighurs ni sula muhimu kwa Waturuki wengi kwasababu wana uhusiano wa karibu wa kitamaduni na kidini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728