04 Julai 2015

'Familia iliotoweka iko salama chini ya IS'

Familia iliotoweka
Familia moja ya watu 12 nchini Uingereza ambayo ilitoweka imejiunga na kundi la wapiganaji wa IS na
kwamba iko salama salmin,kulingana na taarifa iliotumwa kwa niaba yao.
Taarifa hiyo inayodaiwa kutumwa na mwanachama mmoja wa wapiganaji hao imesema kuwa inashangazwa kusema kuwa familia hiyo ilitekwanyara na kulazimishwa kujiunga na kundi la IS imewataka waislamu wote kujiunga na kundi hilo ili kumtii Allah.
Familia hiyo kutoka Luton haijaonekana tangu mwezi May tarehe 17 na inashirikisha watoto watatu walio na umri wa kati ya mwaka 1 na 11.
null
Familia iliotoweka
Maafisa wa polisi hapo awali walisema kuwa huenda familia hiyo ilikwenda Syria.
BBC haijathibitisha iwapo taarifa hiyo iliyo na picha mbili za mmoja ya watu wa familia hiyo Muhammed Abdul Mannan ni ya kweli.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728