02 Julai 2015

Calderon:Ramos angependa kujiunga na Man U

Sergio
Beki wa Real Madrid Sergio Ramos ataihama kilabu yake ili kujiunga na Manchester United kulingana na aliyekuwa rais wa Real Madrid Ramon Calderon.

Manchester United wanamtaka beki huyo kwa kitita cha pauni milioni 28.6, ambaye wanaamini anataka kuondoka na Calderon anaamini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 kutoka Spain anataka kuhama.
''Najua Sergio amemtaka mkurugenzi mkuu kusikiza maombi kutoka kwa klabu ya Manchester United,''alisema Calderon ambaye alihudumu kama rais wa kilabu hiyo kutoka mwaka 2006 hadi 2009.
null
Ramon Calderon
''Yeye angependa kwenda Manchester United pekee''.
Kumekuwa na madai kwamba Ramos anatumia uvumi huo ili kuanzisha mazungumzo ya kandarasi ilioimarika katika klabu ya Real Madrid,kilabu aliyojiunga nayo kutoka Sevilla kwa kitita cha yuro milioni 27 mwaka 2005.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728