06 Julai 2015

Shilole kuzindua msimu mpya MKASI TV Jumatatu hii

Shilole kuzindua msimu mpya MKASI TV Jumatatu hii
Msanii Shilole Kiuno alimaarufu kama Shishi Baby amepata bahati ya kuzindua msimu mpya wa kipindi cha Mkasi TV ambacho kinarushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu na nusu usiku kupitia Televisheni namba moja kwa vijana EATV.

Mkasi TV inarejea tena kwa kasi kubwa baada ya kufanyiwa mabadiliko na kuboreshwa zaidi ili kuleta hamasa na kuzidi kuwahamasisha watazamaji kuendelea kuwa katika familia hiyo inayokuwa kila siku, muonekano mpya wa mkasi TV hautafanana na ule wa awali.
Shilole alikutana na watangazaji wa Mkasi TV, Salama, Mubah na John na hapo ndipo alipoweza kufunguka mambo mengi kuhusu maisha yake na muziki kiujumla, kama ambavyo unafahamu Salama, Mubah na John wanapokutana na mtu mwenye skendo na mambo mengi ya kuzungumza lazima atafunguka, hivyo fanya uwezavyo Jumatatu utazame mabadiliko ya kipindi hicho huku Shilole akifunguka mambvo mengi.
EATV.TV

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728