04 Julai 2015

Chelsea yamsajili Radamel Falcao

Radamel Falcao anyakuliwa na Chelsea
Chelsea imemsajili mshambuliaji wa klabu ya Monaco Radamel Falcao kwa makubaliano ya mkopo lakini kuna uwezekano wa kuongeza kandarasi hiyo na kuwa ya kudumu.

Falcao mwenye umri wa miaka 29 alicheza kama mchezaji wa mkopo katika kilabu ya Manchester United na kufanikiwa kufunga mabao manne katika mechi 29.
Anakutana na wachezaji wenza wa zamani katika kilabu ya Athletico Thibaut Courtois,Filipe Luis na Diego Costa.
Mchezaji wa Croatia Mario Palic mwenye umri wa miaka 20 naye ataelekea Monaco Kucheza kwa mkopo.
Falcao alisema kuwa anafurahia kuichezea Chelsea.
''Natamani kuanza kufanya mazoezi kwa lengo la kuisadia timu yetu kulidhibiti taji la ligi kuu pamoja na kupata ufanisi Ulaya''.alisema.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728