12 Julai 2015

Kiongozi wa ADF akabidhiwa Uganda

Kiongozi wa ADF akabidhiwa Uganda
Jeshi la Uganda linasema kuwa kiongozi wa kundi la waasi linalolaumiwa kwa mauaji ya karibu watu 1000 amekabidhibiwa Uganda baada ya
kusafirishwa kutoka nchini Tanzania.
Jamil Mukulu ambaye alikamatwa nchini Tanzania mwezi Aprili, ni kiongozi wa kundi la ADF ambalo limelaumiwa kwa kuendesha mashambulizi mashariki mwa Uganda na mji mkuu Kampala.
Pia anatakikana kwa mashtaka yanayohusiana na vita nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.
Jeshi la Congo liliendesha oparesheni kubwa dhidi ya waasi wa ADF mwaka uliopita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728