02 Julai 2015

Liverpool kumsajili Benteke

benteke
Liverpool imekubali kumsajili mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke kulingana na mtandao wa Talksport.

Liverpool imehusishwa na uhamisho wa raia huyo wa Ubelgiji katika majuma ya hivi karibuni na kulingana na Graham Beecroft mkataba unatarajiwa kuwekwa hivi karibuni.
Akizungumza wakati wa kipindi cha Alan Brazil alisema:Ninavyojua ni kwamba Benteke ambaye amekuwa akiwindwa na Liverpool kwa mda sasa yuko karibu kuingia mkataba na Liverpool.
''Natarajia kwamba ataweka sahihi yake na kama si leo basi hivi karibuni.Tayari Liverpool imefanya uwezo wake na imeingia katika makubaliano''.
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amewasajili wachezaji watano msimu huu akiwemo James Milner,Danny Ings,Adam Bogdan,Joe Gomez na Roberto Firmino huku makubaliano ya kumsajili beki wa Southampton Nathaniel Clyne yakitarajiwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728