12 Julai 2015

Walioteketeza kanisa Israeli wakamatwa

Walioteketeza kanisa Israeli wakamatwa
Polisi wa Israil, wamewakamata watu kadha, wanaoshukiwa kuchoma moto kanisa mwezi uliopita, katika bahari ya Galilaya.

Wakristo wanaamini kuwa hapo ndipo Yesu Kristo aliwakirimu maelfu ya watu, akiwa na mikate na samaki wachache.
Maandishi iliyolalamika juu ya "kuabudu miungu ya uongo" ilipatikana kwenye ukuta baada ya shambulizi hilo.
Maandishi yalikuwa katika lugha ya Kiyahudi.
Kwa mujibu wa maafisa wa upelelezi hiyo ilikuwa ishara ya kuwa waliochoma moto kanisa hilo walikuwa Wayahudi wenye msimamo mkali.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728