07 Mei 2015

Rais Pierre Nkurunziza hatagombea tena

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amewaambia mawaziri wa Afrika Mashariki kwamba endapo
atachaguliwa kuiongoza nchi hiyo mwezi June mwaka huu ,kwa muhula wa tatu basi itakuwa ni kipindi cha ukomo wa yeye kuendelea kusalia madarakani ,msemaji wa serikali ya Burundi Gervais Abayehorwa amesema hayo mapema Jumatano .
Rais Pierre Nkurunziza uamuzi wake wa kugombea kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa tatu uliibua hisia tofauti tofauti na kuzusha maandamano makubwa. Waandamanaji wanadai kwamba kwa muujibu wa katiba ya nchi hiyo rais anapaswa kuiongoza nchi kwa mihula miwili tu.nayo mahakama ya katiba wameeleza kwamba hawahesabu muhula wa kwanza wa raisi huyo madarakani kwasababu aliteuliwa na wabunge na si kuchaguliwa kwa kupigiwa kura.
Regina Mziwanda kutoka mjini Dar-Es-Salaam amezungumza na msemaji huyo wa serikali ya Burundi ,kutaka kujua Nini ujumbe wa Rais Pirre Nkurunziza kwa taifa la Burundi pindi alipohutubia mapema Jumatano.?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728