28 Aprili 2015

BUJUMBURA

Kwa siku ya pili jiji la Bujumbura linatikiswa na maandamano yaliyoitishwa na wanasiasa wa upinzani na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kupinga rais Pierre Nkurunziza kugombea tena urais. 
Tangu asubuhi ya jumatatu hii mitaa ya Kanyosha, Musaga Nyakabiga, Cibitoke na Mutakura raia wameteremka kwenye barabara kuu za mitaa hiyo wakikusudia kuelekea katikati ya jiji na hivyo kuzuwiliwa na askari polisi ambao ni wengi mno walotawanywa katika sehemu zote za jiji.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728