28 Aprili 2015

Hifadhi ya wanyama yapata simba mpya UG

Tangu Kibonge-Simba dume pekee katika hifadhi ya wanyama ya Entebbe maarufu kama Zoo afariki miezi kadhaa iliopita simba wa kike watatu waliomo kwenye hifadhi hiyo walibaki bila dume hadi juzi ambapo zoo hiyo ilipata
dume jingine kutoka Afrika Kusini.
Simba mpya anaitwa Letaba. Mwandishi wetu Siraj Kalyango alikwenda katika hifadhi hiyo na kumuona Simba huyo mgeni na kutuandalia taarifa ifuayo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728