13 Aprili 2015

Wakimbizi wa Somalia:UN yaijibu Kenya

Umoja wa mataifa unasema kuwa haujapokea amri rasmi kutoka kwa serikali ya Kenya ya kuutaka ufunge kambi ya wakimbizi ambayo ni makao kwa maelfu ya raia wa Somalia.
Siku ya jumamosi makamu wa rais wa Kenya William Ruto alisema kuwa amelipa shirika la kuhudumia wakimbizi la umoja wa mataifa muda wa miezi mitatu ya kufunga kambi hiyo na kuwasafirisha wakimbizi hao kwenda nchini Somalia.
Amesema kuwa la sivyo Kenya itachukua jukumu hilo mikononi mwake.

Baadhi ya wanasiasa nchini Kenya wanaamini kuwa kambi hiyo imekuwa eneo la kuwapa mafunzo wanamgambo wa Al shabaab ambao waliwaua karibu wanafunzi 150 wa chuo cha Garissa zaidi ya wiki moja iliyopita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728