29 Aprili 2015

Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka



Shilingi ya Tanzania imeendelea kushuka hadi kufikia anguko la asilimia 20 dhidi ya dola ya Kimarekani,hali inayotajwa kuwa si
tu inaathiri mitaji ya uwekezaji bali pia kipato cha mtu binafsi. Kwa sasa ubadilishaji wa shilingi ya Tanzania kwa dola ya Kimarekani imefikia shilingi elfu mbili kwa dola moja na kuathiri mwenendo wa kiuchumi.
Mwandishi wetu Leonard Mubali kutoka Dar es Salaam, amezungumza na waziri kivuli wa wizara ya fedha, nchini humo, James Mbatia ambaye alianza kwa kubainisha kuporomoka kwa sarafu hiyo:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728