15 Aprili 2015

Huu Ndio Mchango wa Lulu Baada ya Kuguswa na Maswahibu Anayopitia Msanii Mabeste

Huu Ndio Mchango wa Lulu Baada ya Kuguswa na Maswahibu  Anayopitia Msanii MabesteDah...Nimeguswa sana Sana na Story na huyu kaka....
Nadhani wengi wetu tunamjua au tumeshawahi kumsikia....anaitwa MABESTE ni mwanamziki..!
Kwanza,naweza kusema ni mwanaume wa aina yake...mwenye mapenzi ya Kweli kwa mke wake na familia yake....kwa umaarufu angeweza kumuacha mkewe anauguzwa hata na familia yake,angeweza
kuleta kujulikana katika ndoa yake,angeweza kumuacha mkewe anateseka na akatafuta mwanamke mwingine wa Kuwa nae.
Lakini badala yake ameonyesha moyo wa upendo na kujali...ameonyesha kile kiapo cha SHIDA Na RAHA hakukisema ili apigiwe vigelegele tu basi Bali ALIKUWA ANAMAANISHA
Nimeguswa sana sana....Mchango wangu wa kwanza nimeamua ku share story Kwenye page YANGU nikiamini kupitia page hii wapo watu wanaoweza kuguswa na kujitokeza kumsaidia.
Mchango wangu wa pili Nikiwa kama mkristo mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu nitamuweka Yeye pamoja Na familia yake katika maombi YANGU na mchango wangu wa mwisho nitachangia kwa chochote nilichonacho na Kwa kadri nilivyoguswa...
Ila kiukweli MABESTE MUNGU akubariki Na akusaidie upite ktk hiki kipindi kigumu ni moja Ya majaribu tu Na majaribu Yako Kwaajili yetu wanadamu...!
Mtanzania mwenzangu pita katika Page ya MABESTE soma story fupi aliyoweka na ikiwezekana Saidia kwa namna yoyote unayoweza Kutokana na utakavyo guswa .

Majaribu hayako kwa MTU mmoja Kila Mtu hujaribiwa kwa Muda wake Na kwa aina yake...!
Mungu awabariki”- Lulu aliandika kupitia ukurasa wake wa Instagram

Usome hapa mkasa huo wa Mabeste HAPA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728