07 Aprili 2015

Kanumba Day: Jumbe Mbalimbali za Mastaa wa Bongo Movies

Kanumba Day: Jumbe Mbalimbali za Mastaa wa Bongo MoviesLeo imetimia  miaka mitatu  tangu aliekuwa staa nguli wa Bongo Movies, Steven Kanumba afariki dunia, hizi ni baadhi ya jumbe ambazo mastaa kutoka Bongo Movies wameziandika kuonyesha kumbukumbu zao kwa staa huyo.
Ni siku ambayo siwezi kusahau maisha yangu yote pumzika kwa amani kanumba wangu., nilikupenda ila mungu alikupenda zaidi . Pumzika kwa amani.
Johari
Huwezi kutaja mafanikio ya bongo movies bila kukutaja wewe...tunakuthamini na tunakukumbuka milele
JB
Steven Charles Kanumba pengo lako mpaka leo atujaweza kuliziba na sidhani kama tutaweza tena ingawa Sasa umetimiza miaka mitatu tangu ulipotuacha ghafla kiukweli ni ngumu sana kusahau Tutakukumbuka daima kwani tunapozungumzia kiwanda cha sinema nchini lazima tulitaje jina lako kaka angu ...R.I.P KANUMBA.

Odama
Ni miaka 3 tangu umeondoka marehemu kanumba.Tulikuhitaji sana but Mungu alikuhitaji zaidi.ulikuwa una mchango mkubwa sana katika kuipeperusha bendera ya Tanzania.uliipenda kazi yako toka moyoni kiasi cha kutumia hata hela ya mfukoni mwako kujitangaza kimataifa.Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi k...TOO PAINFULY
Shamsa ford
Nimiaka mitatu tangu utuache lakini tunaona kamajana Dah  hakika pengo lako haliwezi kuzibika.... Mungu akuweke unapo stahili.... Amin

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728