15 Aprili 2015

Jay Z na Beyonce kuna utata kwani? Rihanna anahusika na hii eti?

Jay-Z and Beyonce sit courtside at the Brooklyn Nets game against the Houston Rockets
Rapper maarufu duniani Shawn Correy Carter aka Jay Z ni kama hakuna maelewano mazuri na mke wake, Beyonce.. ishu imetajwa kuwa ni kitendo cha Jay kuwasiliana naRihanna?

Jay Z ambaye anatajwa kumiliki simu tofauti za mkononi ana simu maalum ambayo Ni Rihanna peke yake ambaye ana namba ya simu hiyo na watu walio karibu na rapa huyo na mkewe wanadai kuwa Beyonce amekerwa na kitendo hiki.
Vyanzo vya story hii vimedai kuwa Rihanna ana uhuru wa kumcheki Jay Z kwenye simu muda wowote japo mawasiliano yaliyopo kati yao yako kibiashara na kikazi zaidi.. Wanaudaku wa Marekani wanasema Beyonce hapendezwi na ukaribu huu wa Jay naRihanna.
Jay-Z amekuwa na mawasiliano ya karibu na Rihanna ambayo yanamkera mkewe Beyonce.
Jay Z na mrembo Rihanna.
Wanaudaku wamesema Jay Z wakati mwingine huwa anakatisha mazungumzo au shughuli yoyote anayoifanya kama ikitokea amepigiwa simu na Rihanna… kingine walichoshtukia wanasema eti story zake na Rihanna kwenye simu huwa nyingi kulikoJay akiwa anaongea na mtu mwingine.
Story nyingine zinadai kuwa Beyonce na Rihanna wamekuwa hawazungumzi kwa muda mrefu na Beyonce amekuwa akimkwepa Rihanna katika hafla tofauti zinazowakutanisha karibu.
millardayo.com ndio sehemu yako kuzipata story zote mtu wangu, unaweza kuwa karibu zaidi na mimi kwa kujiunga kwenye Facebook, Twitter na Instagram pia zitakufikia zote mtu wangu, jiunge hapa >>>twitter Insta Facebook

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728