14 Aprili 2015

Madonna ambusu Drake

Madonna ametibua mjadala baada ya kumbusu Drake jukwaani
Mwanamuziki mkongwe Madonna amejijengea sifa ya kutokua muoga katika maswala ya ngono wala ya kijamii.
Lakini alichokifanya mwishoni mwa juma liliwaacha wengi vinywa wazi .
Bibi huyo mwenye umri wa miaka 56 alishindwa kustahimili mvuto wa mwanamuziki wa kizazi kipya Drake alipokuwa akimwaga misstari mbele ya mashabiki wake katika onyesho
la California Coachella.

Madonna ambusu Drake
Malkia huyo wa mziki wa ''POP'' alitua jukwaani Drake alipokuwa akiimba wimbo wake maarufu ''Madonna''
ilionekana kama aliyeshikwa na jazba baada ya kushuhudia wimbo wa ''Human Nature'' na ''Hung Up''
na akajipata jukwaani akampiga pambaja na kumkumbatia na mara akampiga busu.
Drake hakusema lolote wakati huo lakini alionekana kama aliyeshtuliwa sana na tukio hilo.
Drake baada ya kupigwa kubusu na Madonna
Picha zinaonesha alishikwa na kinyaa.
Ajabu nikuwa i Madonna alimpokonya kinasa sauti na kusema
"mimi ndiye Madonna" na akaondoka jukwaani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728