14 Aprili 2015

Watu 5 zaidi wauawa Afrika Kusini

 
 Wageni 5 zaidi wameuawa huko Durban
Watu watano zaidi wameuawa katika mashambulizi ya kibaguzi katika mji wa Durban nchini Africa Kusini.
Doria za maafisa wa polisi zimeimarishwa dhidi ya mashambulizi zaidi ya maduka yanayomilikiwa na wahamiaji kutoka mataifa mengine ya afrika.

Raia wa kigeni wamekimbilia usalama katika vituo vya polisi
Wengi wamelazimika kuhamia katika makaazi ya mda ,huku Malawi ikiripoti kuwaondoa raia wake ambao wameachwa bila makao.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameshtumu mashambulizi hayo na kubuni kamati ya kujaribu kurejesha hali ya usalama.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728