23 Aprili 2015

Shambulio la Garissa, lilijulikana

Taarifa juu ya shambulio la kigaidi katika Chuo kikuu cha Garissa zilijulikana kabla ya tukio kutokea.

Mkuu wa chuo hicho Professor Osman Warfa aliambia BBC kwamba vyombo vya usalama vilifahamu kuhusu shambulio hilo.
Sikiliza mahojiano ya Wanyama wa Chebusiri na Profesa Osman akimuuliza kwanza juu ya hali ya wanafunzi waliojeruhiwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728