Mwandishi wetu Regina Mziwanda ,amefuatilia kinachoendelea Burundi kwa sasa na amezungumza na Msemaji wa Rais wa Burundi Jervier Abayeho na kwanza amemuuliza msemaji huyo kuwa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anafikiria kufanya mazungumzo na upinzani ili kuondoa mvutano unaoendelea sasa nchini humo?
27 Aprili 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni