27 Aprili 2015

Msimamo wa Rais wa Burundi ni upi?



Baada ya Rais Pierre Nkurunziza kuteuliwa na chama chake kugombea urais kwa muhula wa
tatu.Maandamano makubwa yameendelea nchini humo na kugharimu maisha ya watu ,waandamaji hao wanadaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi waliokuwa wakijaribu kuyadhibiti maandamano hayo.wafuasi hao wameapa kuendelea na maandamano hayo, hadi rais Nkurunzinza atakapobadili uamuzi wake wa kuwania urais kwa muhula mwingine.
Mwandishi wetu Regina Mziwanda ,amefuatilia kinachoendelea Burundi kwa sasa na amezungumza na Msemaji wa Rais wa Burundi Jervier Abayeho na kwanza amemuuliza msemaji huyo kuwa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anafikiria kufanya mazungumzo na upinzani ili kuondoa mvutano unaoendelea sasa nchini humo?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728