Kilichowafurahisha wengi ni haya mameno Wastara alioyaandika kwenye picha huyo;
“Kwa mfano yaani no yaani nauliza hivi kwa mfano inakuwa ni aah basi nimeghairi tuendelee kuangalia mpaka usingizi utupitie uaminifu dhaifu hii ni TBTau Tabata Barakuda tuliambiwa cut ila cinema iliendelea”
Nadhani ameeleweka vyema, hasa mstari wa mwisho hapo, ichukue hii kama ndio picha bora kwa siku hii ya leo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni