20 Aprili 2015

IS latoa video ya mauaji ya wakristo

ISIS
Wanamgambo wa kundi la Islamic State wametoa kanda ya video wanayosema inaonyesha mauaji ya takriban Wakristo 30 kutoka Ethiopia waliokamatwa na washirika wa IS nchini Libya.

Picha za kundi moja zimeonyesha wakikatwa vichwa katika ufukwe wa bahari huku picha nyengine zikionyesha kundi jingine la raia hao wakipigwa risasi kichwani katika jangwa.
Maandishi katika kanda hiyo yanasema kuwa waathiriwa ni wanachama wa kanisa la Ethiopia.
Kanda hiyo ya dakika 29 inaonyesha alama ya kundi la mawasiliano la IS kwa jina Al-Furqan na inafanana na ile iliotolewa hapo awali na kundi hilo ikiwemo ile iliochapishwa mwezi Februari ambayo ilikuwa ikiwaonyesha wapiganaji wa kundi hilo wakiwakata vichwa wakristo 21 wa Misri katika ufukwe wa bahari nchini Libya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728