03 Aprili 2015

Filamu Zakiasili za Mpa Dili Husna

Filamu Zakiasili za Mpa Dili HusnaStaa mrembo wa filamu, Husna Chobis amefunguka kwa kusema kuwa filamu alizoigiza za kiasili zimepata dili la kwenda kuigiza nchini Uingereza, baada ya kuchaguliwa kupitia sinema ya Gawa na Ndase alizoigiza na kumpatia umaarufu.
“Namshumkru Mwenyezimungu kwa kuonyesha kipaji changu uigizaji na hasa filamu za asili, najua wazi kama si filamu hizi isingekuwa rahisi kuchaguliwa na kuja hapa Uingereza kushiriki filamu ninayocheza sasa, filamu za asili zimenipa dili,”anasema Husna.
Msanii huyo yupo nchini uingereza pamoja wasanii wenzake wawili yaani Eshe Buheti na Yusuf Mlela zaidi ya mwezi mmoja wakirekodi filamu inayoshiriki raia wa Afrika ya Mashariki na wasanii kutoa Afrika Magharibi nchi za Naijeria na Ghana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728