
Shirika la haki za binadamu lenye makao yake nchini Uingereza linasema kuwa kijiji kinachofahamika kama Birmahle kilishambuliwa na kuwa bado watu wamekwama kwenye vifusi.
Muungano huo unaoongozwa na Marekani haujatoa tamko lolote kuhusu kisa hicho kufikia sasa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni