02 Mei 2015

Manchester United yalazwa nyumbani

Klabu ya manchester United ilishindwa kwa mara ya tatu mfululizo huku timu ya West Bromwich ikisongea juu ya jedwali la ligi ya Uingereza na hivyobasi kukwepa kushushwa katika ligi hiyo.

Manchester United ilitawala mechi lakini ikafungwa bao moja katikati ya kipindi cha pili baada ya mkwaju wa adhabu wa Chris Brunts kumgonga mchezaji mwenza Jonas Olson na kuingia wavuni.
Hatahivyo Manchester United ilitarajiwa kusawazisha baada ya kupata penalti lakini mkwaju huo wa mshambuliaji Robin Van Persie ulipanguliwa na kipa wa West Brom.Van Persie alikosa bao jingine baada ya kipa kuokoa mkwaju aliopiga.
Kwa sasa Manchester United iko juu ya Liverpool kwa pointi nne pekee katika nafasi ya nne.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728