03 Mei 2015

Shambulizi la muungano lawaua 50 Syria

Ripoti kutoka kaskazini mwa Syria zinasema kuwa zaidi ya raia 50 wameuawa kwenye shambulizi la angani lililoendeshwa na muungano unaongozwa na Marekani.

Shirika la haki za binadamu lenye makao yake nchini Uingereza linasema kuwa kijiji kinachofahamika kama Birmahle kilishambuliwa na kuwa bado watu wamekwama kwenye vifusi.
Muungano huo unaoongozwa na Marekani haujatoa tamko lolote kuhusu kisa hicho kufikia sasa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728