03 Mei 2015

Dan Sturridge huenda akafanyiwa upasuaji

Mshambuliaji Liverpool Dan Sturridge huenda akafanyiwa upasuaji ili kutibu tatizo la nyonga linalomsumbua.

Mshambuliaji huyu ameelekea nchi Marekani kwenda kuonana na madaktari Peter Asnis ili kujua kama anahitaji kufanyiwa upasuaji kutibu tatizo lake.
Majeruhi yamekua yakimuandama mshambuliaji huyu katika msimu huu na kushindwa kuonyesha cheche zake za kuzifumania nyavu.
Aliumia mguu mwezi September wakati wa michezo ya kimataifa na kabla ya kuumia misuli akiwa mazoezini.
Akapata maumivu tena mwezi November , yaliyo,muweka nje ya dimba mpaka January 31 ambapo alirud uwanjani kucheza mchezo dhidi ya West Ham na kufunga mabao mawili.
Sturridge alijiunga na Liverpool kwa usajili wa kiasi cha pauni milioni 12 mwezi January mwaka 2013 na amefunga mabao 24 katika michezo yote aliyoichezea timu hiyo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728