07 Mei 2015

Utapeli mtandaoni washamiri Ghana

vijanawenye Umri wa chini ya miaka thelathini. Wanaendesha magari ya kifahari na mavazi ya bei kali. Ni kikundi maalum cha Vijana kutoka nchini Ghana wanaowatapeli maelfu ya fedha watu kwenye mtandao. Ni biashara ambayo imejizolea umaarufu mkubwa hasa kwa vijana wasio na kazi.
Vijana hawa wanajulikana kama sakawa. BBC imepata fursa ya kuwaona wanavyo watapeli watu kwa mtandao. Akiwa Accra Ken Mungai anaarifu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728