
Wauza Madawa ya Kulevya 8 waliohukumiwa adhabu ya kifo, wameuawa kwa kupigwa risasi hadharani nchini Indonesia hapo jana
- Australia yakerwa; yamrejesha nyumbani Balozi wake

Shilingi ya Tanzania imeendelea kushuka hadi kufikia anguko la asilimia 20 dhidi ya dola ya Kimarekani,hali inayotajwa kuwa si
The Southampton and England right-back has just over a year left to run on his contract at St Mary's Stadium but the Saints director believes that he may very well extend terms

Kwa siku ya pili jiji la Bujumbura linatikiswa na maandamano yaliyoitishwa na wanasiasa wa upinzani na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kupinga rais Pierre Nkurunziza kugombea tena urais.
Mahakama moja mjini Bungoma nchini Kenya imemshtaki afisa mmoja wa wadi ya Bukembe kwa kulala na mwanawe wa kike mwenye umri wa
Mahakama kuu nchini Marekani hii leo itasikiliza kesi kadha kuamua ikiwa wapenzi wa jinsia moja wana haki yaAmiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015

Picha za maelfu ya vijana wanaojaribu kuivuka Bahari ya Mediterrenean kuingia barani Ulaya mara nyingi zinawahusu Waafrika ambao
Waliokuwa wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania zaidi ya 152,572 walioingia nchini humo tangu mwaka 1972, wamekabidhiwa vyeti vya uraia wa Tanzania na kuwa huru kuishi kama
Waganga wa kienyeji wanaotoka katika maeneo tofauti nchini Tanzania wamejitolea kumtibu Msanii
Staa mkongwe kutoka Bongo Movies, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amegeuka mbogo baada kuulizwa juu ya madai ya kuoa binti mdogo ambaye ni sawa na mjukuu wake mwenye umri wa miaka 18 akidai kuwa sheria ya dini inamruhusu kufunga ndoa wa wake wanne.
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amemjibu mwenzake wa Arsenal Arsene Wenger baada ya
Mkulima mmoja nchi Kenya anasema kuwa mmoja wa ng'ombe wake amesusia lishe yake ya kawaida na kuanza kuwala kondoo.
Bilionea Alhaji Dangote amekabidhiwa hekari 2,500 katika Kijiji cha Mgao, Wilaya ya Mtwara ajenge bandari.
Mwamamme mmoja kwenye mji wa Colorado nchini Marekani huenda akachukuliwa hatua za kisheria kufuatia kisa ambapo
kwamba alidanganya kuhusu ugonjwa wake.
Staa wa vichekesho kutoka Bongo Movies, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua.

Taarifa juu ya shambulio la kigaidi katika Chuo kikuu cha Garissa zilijulikana kabla ya tukio kutokea.
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amejikuta akidondosha machozi ya uchungu baada ya shabiki mmoja kujitokeza kwenye mtandao wa kijamii na kumlaani kifo.



Kufuatia kuhusishwa na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu Bilionea Lusekelo Samson Mwandenga ‘Seki’ aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita, Staa wa Bongo Movies Elizaberth Michael ‘Lulu’ amesema hana la kusema na hana tamko lolote fufuatia kifo cha Seki.
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amerudi tena mbele ya kamera baada ya kuadimika kwa miezi kadhaa. Kupitia ukurasa wake mtandaoni, Lulu ame-share nasi picha akiwa yupo lokesheni akishoot filamu na kuandika kuwa amerudi kufanya kazi.
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu na Mtangazaji Penniel Mwingila ‘Penny’ ambao wote kwa nyakati tofauti wamewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya
Siku chache baada ya habari ya staa wa Bongo Fleva , Nurdin Bilal ‘Shetta’ kudaiwa kulala chumba kimoja na staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka kuandikwa gazetini, mkewe Neila Yusuf ameshindwa kuvumilia na kudai talaka yake, Risasi Mchanganyiko linakujuza.
BBC kwamba wamepokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa wapiganaji wa kundi la Alshabaab wiki tatu tu baada ya shambulizi katika chuo kikuu cha Garissa.
Kufuatia kauli ya Wema Sepetu ya hivi karibuni kuwa hawezi kupata mtoto wa kumzaa, mastaa wa fani mbalimbali wamejitokeza kumtuliza moyo, wakiongozwa na hasimu wake wa karibu, Kajala Masanja, ambaye amesema hana sababu ya kukata tamaa, kwani bado ni mdogo.
Ni mfano wa kirusi kilichokosa jina ambacho kinasambaa na
kuathiri wanafunzi wengi wanaofikiria na kuamini kuwa ‘kupiga chabo’
(kuibia katika mtihani), ni njia pekee inayoweza kuwakomboa katika
masomo yao.
Morogoro. Watu 10 wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro baada
ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera
nyeusi inayodaiwa kutumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab wa
nchini Somalia.
Dar es Salaam. Hofu ya kuahirishwa kwa Uchaguzi
Mkuu imezidi kutanda baada ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) na wanaharakati kueleza kuwa kuna dalili ndogo za
uchaguzi huo kufanyika Oktoba.