06 Aprili 2015

Garissa:Wanafunzi kuondoa vitu vyao

Wanafunzi katika chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya wanatarajiwa kupelekwa chuoni humo ili kundoa vitu vyao kabla ya kupelekwa nyumbani.
Serikali ya Kenya imefunga chuo hicho kufuatia shambulio la siku ya alhamisi ambapo watu 150 waliuawa.

Uchunguzi kuhusu tukio hilo unandelea na watu wawili zaidi wamekamatwa.
Walioshuhudia wanasema kuwa wale waliovamia chuo hicho walizungumza lugha ya kiswahili lakini walionekana kupata ushauri kwa njia ya simu za mkononi
Rais wa Marekani Barack Obama amekitaja kitendo hicho kuwa cha kinyama na kuahidi msaada wake kwa rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728