Uchunguzi kuhusu tukio hilo unandelea na watu wawili zaidi wamekamatwa.
Walioshuhudia wanasema kuwa wale waliovamia chuo hicho walizungumza lugha ya kiswahili lakini walionekana kupata ushauri kwa njia ya simu za mkononi
Rais wa Marekani Barack Obama amekitaja kitendo hicho kuwa cha kinyama na kuahidi msaada wake kwa rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni