03 Aprili 2015

Ubaguzi wa rangi wamtisha Chris Ramsey

Meneja wa timu ya QPR Chris Ramsey amesema asili yake ya rangi nyeusi itampa wakati mgumu kupata kazi pale atakapo ondoka katika dimba la Loftus Road.

Kocha huyo alisema kuwa meneja yeyote huhangaika kupata kazi lakini inakuwa taabu zaidi kwa mweusi.
Ramsey anaiongoza klabu hiyo hadi mwishoni mwa msimu huu baada ya kupandishwa na kushika nafasi hiyo ili kuziba pengo lililoachwa wazi na Harry Redknapp kocha wa zamani wa klabu hiyo aliyebwaga manyanga Februari mwaka huu. Kabla ya kuanza kazi katika timu hiyo Chris alikaa miezi saba bila kazi baada ya kuondoka Tottenham mnamo mwezi June kabla ya kujiunga na QPR mwezi October.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU
KUWEKA TANGAZO LAKO HAPA NI BEI NAFUU

TANGAZO LA KAZI -Commited youth agricultural organisation CYAO is looking for a person who is specialised in agriculture

POSITION DESRIPTION;

Agricultural Technician

Qualifications

Diploma in agriculture

Mode of application applicant must send an updated Cv,birth cirtificate,one recent passport size, an accademic cirtificate, age limit 20 to 35

apply to Project cordinator,Commited youth agriculture organisation,P.O.Box 78438 Dar es salaam or you can call through +255657990920/+255754823728